Bondia David Haye akijisomba somba kuinuka baada ya kuanguka chini kufuatia kipigo cha mpinzani wake, Muingereza mwenzake Tony Bellew (hayupo pichani) katika pambano lisilo la ubingwa uzito wa juu jana ukumbi wa O2 Arena, London. Bellew alishinda kwa Technical Knockout (TKO) raundi ya tano baada ya refa Howard Foster kusimamisha pambano kufuatia Haye kuanguka chini mara mbili raundi ya tatu. Hilo lilikuwa pambano la marudiano baada ya Haye kupigwa tena kw TKO Novemba mwaka jana PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Erling Haaland nets first half HAT-TRICK as rampant Man City dismantle
Wolves to keep pressure on Arsenal in Premier League title race
-
Erling Haaland netted an incredible hat-trick for Man City against Wolves
to see Pep Guardiola's side close in on Arsenal at the top of the league.
34 minutes ago
0 comments:
Post a Comment