Karim Benzema akishangilia mbele ya mashabiki wa Real Madrid baada ya kufunga bao lake la kwanza dakika ya 11 kati ya mawili, lingine dakika ya 46 aliyofunga jana katika sare ya 2-2 na Bayern Munich katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya tatu na James Rodriguez dakika ya 63 na sasa Real Madrid inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kushinda 2-1 Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Terrell Owens' Son Terique, 49ers Agree to UDFA Contract After
2024 Draft
-
The San Francisco 49ers added Missouri State wide receiver Terique Owens,
the son of Hall of Fame receiver Terrell Owens, as an undrafted free agent
on…
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment