Karim Benzema akishangilia mbele ya mashabiki wa Real Madrid baada ya kufunga bao lake la kwanza dakika ya 11 kati ya mawili, lingine dakika ya 46 aliyofunga jana katika sare ya 2-2 na Bayern Munich katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya Bayern Munich yalifungwa na Joshua Kimmich dakika ya tatu na James Rodriguez dakika ya 63 na sasa Real Madrid inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-3, baada ya awali kushinda 2-1 Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich, Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Your cheat sheet to beat the bookies on day one at Cheltenham, JP McManus
is primed for birthday success and Sir Anthony McCoy's marathon challenge:
CHELTENHAM BREAKFAST
-
CHELTENHAM BREAKFAST: Nobody wants to win at Cheltenham more than JP
McManus and it will be fascinating to see how many times he hits the
bullseye this week.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment