Kiungo na mshambauliaji wa Yanga, Iddi Moshi Shaaban akimiliki mpira mbele ya kipa wa timu pinzani katika moja ya mechi za Ligi Kuu ya Safari Lager (sasa Ligi Kuu ya Vodacom) mwaka 2000 Uwanja wa Taifa (sasa Uhuru) mjini Dar es Salaam. Enzi zake, Moshi aliyejiunga na Yanga akitokea Milambo ya kwao, Tabora na akacheza pia Moro United baadaye, alikuwa mpishi na mfungaji hodari wa mabao
Wiedersehen mit Paris Saint-Germain
-
Zum dritten Mal in dieser Champions-League-Saison trifft Borussia Dortmund
am Mittwochabend (21 Uhr) auf Paris Saint-Germain. „Wir kennen Paris, und
wir si...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment