![]() |
| Mbwana Samatta akimtoka Hardlife Zvirekwi |
![]() |
| Mrisho Ngassa akimtoka Stephen Alimenda |
![]() |
| Thomas Ulimwengu akimtoka |
![]() |
| Mbwana Samatta akimtoka Danny Phiri |
![]() |
| Nahodha Nadir Haroub 'Cannavaro' akipiga kichwa kuokoa mbele ya Peter Moyo |
![]() |
| Frank Domayo aliyekaa chini baada ya kuteleza kuondosha mpira miguuni mwa Stephen Alimenda wa Zimbabwe |
![]() |
| John Bocco akiwa ameruka juu kupigwa kichwa mbele ya mabeki wa Zimbabwe |
![]() |
| Mbwana Samatta akiwania mpira wa juu dhidi ya Milton Ncube |
![]() |
| Kikosi cha Taifa Stars jana |
![]() |
| Baadhi ya wadau wakijadiliana jambo kabla ya mchezo kuanza jana |
![]() |
| Shabiki mdogo wa Tanzania, akiibusu jezi ya timu hiyo huku akiwa ameshikavuvuzela kwa ajili ya kuishangilia timu hiyo jana |














.png)
0 comments:
Post a Comment