MAELFU ya mashabiki wa Arsenal yalijimwaga mitaa ya kaskazini mwa Jiji la London kusherehekea taji la Kombe la FA Cup ambalo timu yao ililiitwaa jana baada ya kuichapa Hull City mabao 3-2.
Ushindi huo umekuwa faraja sana kwa sababu Arsenal haijatwaa taji lolote kwa miaka tisa sasa na haikuwa ajabu mashabiki wa timu hiyo kupagawa na ushindi huo.
Arsenal ilipigana jana ikitoka nyuma kwa mabao 2-0 na kupata sare ya 2-2 baada ya dakika 90 kabla ya Aaron Ramsey kufunga bao la ushindi ndani ya dakika 30 za nyongeza.
Umati wa mashabiki wa Arsenal mitaani



.png)
0 comments:
Post a Comment