• HABARI MPYA

    Saturday, July 09, 2016

    WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, MWIGULU ALIPOIBUKA MAZOEZINI YANGA LEO

    Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu Nchemba (kushoto) akizungumza na mashabiki wa Yanga alipotembelea kambi ya mazoezi ya timu hiyo Uwanja wa Boko Veterani, Dar es Salaam jioni ya leo
    Mwigulu baada ya mazoezi alizungumza kwa furaha wananchi wenye mapenzi na Yanga kama yeye
    Yanga inajiandaa na mchezo wa Kundi A Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana Jumamosi ijayo
    Pamoja na kufanya mazoezi Uwanja wa Boko, Yanga imeweka kambi katika hoteli ya Ludger Plaza, Kunduchi, Dar es Salaam 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: WAZIRI WA MAMBO YA NDANI, MWIGULU ALIPOIBUKA MAZOEZINI YANGA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top