Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilIa baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wales kwenye mchezo wa Nusu Fainali Fainali Euro 2018 usiku huu Uwanja wa Parc Olympique mjini Lyon, Ufaransa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Nani kwa pasi ya Ronaldo na sasa inakwenda fainali ambako itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya wenyeji Ufaransa dhidi ya Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rangers Win Game 1 vs. Hurricanes as Mika Zibanejad's Playoff Run Impresses
NHL Fans
-
The New York Rangers held off the Carolina Hurricanes to secure a 4-3
victory in the 2024 Stanley Cup Playoffs. In front of a raucous Madison
Square Garden…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment