• HABARI MPYA

    Thursday, July 07, 2016

    RONALDO AIPELEKA URENO FAINALI EURO 2016

    Mshambuliaji wa Ureno, Cristiano Ronaldo akishangilIa baada ya kuifungia timu yake bao la kwanza katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Wales kwenye mchezo wa Nusu Fainali Fainali Euro 2018 usiku huu Uwanja wa Parc Olympique mjini Lyon, Ufaransa. Bao lingine la Ureno limefungwa na Nani kwa pasi ya Ronaldo na sasa inakwenda fainali ambako itakutana na mshindi wa Nusu Fainali ya pili kesho kati ya wenyeji Ufaransa dhidi ya Ujerumani PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AIPELEKA URENO FAINALI EURO 2016 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top