Kikosi cha Malindi 1995 ambacho kilifika Nusu Fainali ya Kombe la CAF mwaka 1995 na kutolewa kwa penalti 4-3 na Etoile du Sahel ya Tunisia baada ya sare ya jumla ya 1-1, kila timu ikishinda 1-0 nyumbani kwake. Ingeingia Fainali, Malindi ingekuwa timu ya pili ya Tanzania kufika hatua hiyo katika michuano hiyo, baada ya Simba SC mwaka 1993
Houston Texans receiver Tank Dell was 'a victim of a shooting in Florida on
Saturday night', the team announces... before being released from hospital
with a 'minor wound': 'He's in good spirits'
-
Texans wide receiver Tank Dell was the victim of a shooting on Saturday
night, according to the team.
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment