Mshambuliaji Antoine Griezmann akishangilia baada ya kufunga mabao yote mawili Ufaransa ikiilaza Ujerumani 2-0 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Euro 2016 usiku huu Uwanja wa Stade Velodrome mjini Marseille, Ufaransa. Griezmann alifunga bao la kwanza kwa penalti dakika ya 45 na ushei, baada ya kiungo Bastian Schweinsteiger kuunawa mpira kwenye boksi, wakati la pili alifunga 72 akimalizia mpira uliotemwa na kipa Manuel Neuer baada ya krosi ya kiungo Paul Pogba na sasa Ufaransa itakutana na Ureno katika fainali Jumapili Uwanja wa Stade De France mjini Paris PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Clippers player Justise Winslow puts SoCal mansion up for sale for
$5.3million
-
Winslow, 28, listed his six-bedroom, seven-bath home in Tarzana - a suburb
of L.A. - on the MLS (multiple listing service), roughly 10 days ago, as it
was ...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment