• HABARI MPYA

    Sunday, January 27, 2013

    YANGA SC WAZEE WA UTURUKI WALIVYOWAKANDAMIZA MAAFANDE WA MAGEREZA LEO TAIFA


    Beki wa Prisons, Jumanne Elfadhil akijaribu kumzuia winga wa Yanga, Simon Msuva

    Msuva akiruka daluga la Elfadhil

    Msuva akiwatoka mabeki wa Prisons

    Msuva akiwachambua mabeki wa Prisons

    JJerry Tegete akimtoka mchezaji wa Prisons, Sino Augustino katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya TZ Prisons Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii. Yanga ilishinda 3-1.

    Tegete na Sino

    Sino amemgonga kwenye goti Tegete anayeugulia maumivu

    Sino anajiandaa kumiliki mpira Tegete akienda chini huku akiugulia maumivu

    Tegete akishangilia moja ya mabao yake na Msuva

    Tegete na msuva

    Wachezaji wa Yanga wakimpongeza Tegete kulia

    Hatari kwenye lango la Prisons

    Mpira uko nyavuni kulia, kipa wa Yanga Ally Mustafa 'Barthez' akiwa ameduwaa baada ya Prisons kupata bao lao

    Kavumbangu akifumua shuti

    Kavumbangu akimtoka Elfadhil

    Kavumbangu akimiliki mpira mbele ya mabeki wa Prisons

    Henry Mwalugala akiwa amelala kuondosha mpira miguuni mwa Nurdin Bakari
    Kocha wa Yanga SC, Mholanzi Ernie Brandts akisalimiana na kocha wa Prisons, Jumanne Challe kabla ya mchezo baina ya timu hizo jioni Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Yanga ilishinda 3-1.

    Kikosi cha Prisons kilichoanza leo

    Kikosi cha Yanga kilichoanza leo

    Didier Kavumbangu akimtoka beki wa Prisons Jumanne Elfadhil katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii. Yanga ilishinda 3-1.

    Kavu amepiga krosi baada ya kupata mwanya
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: YANGA SC WAZEE WA UTURUKI WALIVYOWAKANDAMIZA MAAFANDE WA MAGEREZA LEO TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top