• HABARI MPYA

    Thursday, January 31, 2013

    HAFLA YA KUITATHMINI LIGI KUU YA VODACOM ILIVYOFANA LEO

    Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), Juma Pinto akizungumza na katika hafla maalum ya kuchangia maoni kuhusu Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara iliyofanyika kwenye hoteli ya Southern Sun, Dar es Salaam leo.

    Jimama la Kinigeria lilikuwepo

    Kutoka kulia Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kamati ya Ligi Kuu, Silas Mwakibinga, Saad Kwemba wa TFF na Katibu wa TFF, Angetile Osiah

    Wahariri

    Salum Mwalim na Kingamkono

    Mwenyekiti wa Kamati ya Ligi Kuu, Wallace Karia
    Angetile
    Katibu wa TFF, Angetile akizungumza na Wahariri

    Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania, Kevin Twisa akizungumza na Wahariri wa vyombo mbalimbali vya Habari katika hafla maalum ya kuchangia maoni kuhusu Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara iliyofanyika kwenye hoteli ya Southern Sun, Dar es Salaam leo.

    Twisa na Pinto

    Ngeta na Jimama la Abuja 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments
    Item Reviewed: HAFLA YA KUITATHMINI LIGI KUU YA VODACOM ILIVYOFANA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top