JERRY MURO ALIVYOMPLEKEA HAJJI MANARA 'MILIONI NA UPUUZI' ZA MATIBABU
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Yanga, Jerry Muro (wa tatu kushoto) akimkabidhi mchango wa fedha Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba, Hajji Manara (anayemfuatia kulia) kwa ajili ya matibabu ya macho leo nyumbani kwake, Magomeni, Dar es Salaam. Manara anatakiwa kwenda kufanyiwa matibabu ya macho India baada ya jicho lake moja kupoteza uwezo wa kuona.
Kulia ni Daktari wa michezo, Nassor Matuzya aliyeshika fedha wakati wa kumkabidhi Hajji
Dk Matuzya akizungumza na Hajji kabla ya kumkabidhi fedha hizo Sh, 1,055,000 ambazo ni michango ya wana Yanga mbalimbali
Hajji (kulia) ambaye anahitaji kiasi cha dola za Kimarekani 10,000 (zaidi ya Sh. Milioni 20) akizungumza na Muro (katikati) na mwingine ni mwanachama wa Yanga, maarufu kama Chicharito
ALL IN mit Marcel Sabitzer
-
Sechs Torbeteiligungen in den vergangenen drei Partien: Marcel Sabitzer ist
aktuell in bestechender Form. Nun kehrt er mit dem BVB nach Leipzig und
damit a...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment