Kocha wa Simba SC, Milovan Cirkovick akisaini mkataba mpya wa mwaka mmoja kuendelea kuifundisha Simba SC mwishoni mwa wiki (Jumamosi) katika hoteli ya Serena, Dar es Salaam kabla ya kwenda Zanzibar na timu hiyo jana kwenye michuano ya Urafiki. Kulia ni Mwenyekiti wa Simba SC, Alhaj Ismail Aden Rage akishuhudia Mserbia huyo anavyojitia pingu za kuendelea kuwatumikia wana Msimbazi.
Ospreys' Morris bouncing back after toughest year
-
Ospreys number eight Morgan Morris can push for a first Wales call-up by
finishing strongly in the United Rugby Championship, says his coach Mark
Jones.
0 comments:
Post a Comment