• HABARI MPYA

    Saturday, July 21, 2012

    HAWA NDIO MAREFA WA KAGAME 2012

    Marefa wanaochezesha Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, kutoka kulia ni Peter Sabatia (Kenya), Jesse Rasmo, Israel Mujuni (Tanzania),  Dennis Batte (Uganda), Josephat Bulali (Zanzibar), Hamisi Chang’walu(Tanzania), Kapteni Mstaafu, Stanley Lugenge (Tanzania, Kiongozi), Anthony Ogwayo (Kenya), Thierry Nkurunzinza (Burundi) na Kaloba Elias (Kenya).  Hapa walikosekana Issa Kagabo, Simba Honore wa Rwanda na Mussa Balikoowa wa Uganda, kukamilisha orodha kamili ya marefa wa mashindano haya yaliyoanza Julai 14 na yatafikia tamati Julai 28, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HAWA NDIO MAREFA WA KAGAME 2012 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top