Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
Elements Casino Surrey sold to Semiahmoo First Nation
-
The Semiahmoo First Nation has announced it will acquire Elements Casino
Surrey from operator Great Canadian Entertainment, pending regulatory
approval. It...
16 minutes ago





.png)
0 comments:
Post a Comment