Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
Republican senator breaks ranks with Trump over controversial nuclear deal
with Saudi Arabia
-
Another GOP senator breaks with president on the Middle East as war with
Iran divides his party
12 minutes ago





.png)
0 comments:
Post a Comment