Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
1 Unpopular Stock That Deserves Some Love and 2 We Question
-
Wall Street has issued downbeat forecasts for the stocks in this article.
These predictions are rare - financial institutions typically hesitate to
say bad...
5 minutes ago





.png)
0 comments:
Post a Comment