Simba imepigwa mabao 3-1 na Azam FC leo katika Robo Fainali
ya mwisho ya Klabu Bingwa ya soka Afrika Mashariki na Kati, Kombe la Kagame, Uwanja
wa Taifa, Dar es Salaam- lakini unaweza kustaajabu kipigo hicho mashabiki wa Simba
walitabiri kuwapa Azam, ila ajabu kimewageukia wao. Tazama picha hizi za mashabiki
wa Simba na Azam wakitambiana, nani kainua vidole vitatu juu?
Nigeria angry over treatment of citizens in South Africa as evacuation
begins soon
-
Federal Government has voiced strong displeasure over how Nigerians in
South Africa are being treated, even as arrangements to evacuate those who
want to...
9 minutes ago





.png)
0 comments:
Post a Comment