Mashabiki wa Simba, leo
wamemtembezea kichapo mama mmoja aliyekuwa amevalia jezi ya timu ya taifa ya
Tanzania, Taifa Stars yenye nembo ya Shirikisho la Soka la Tanzania (TFF), kosa
kukaa kwenye jukwaa walilokuwa wamekaa wao. Sasa haikuweza kufahamika mara
moja, mashabiki wa Simba wana bifu na TFF au hawapendi timu ya taifa. Mama huyo
alikimbizwa huku akipewa kichapo hadi kutokwa damu, kabla ya kuokolewa na Polisi
waliomteremsha jukwaani. Aliporwa vitu vyake kama pochi na kadhalika. Baadaye akiwa
amekwishaokolewa na askari, ndipo msamaria mwema mmoja, albino akamuokotea
baadhi ya vitu na kuwakabidhi askari. Huwezi kulipa jina lingine tukio lile,
zaidi ya udhalilishaji wa kijinsia. Alikuwa anatia huruma mama huyo wakati
anahangaika kujitoa kwenye kundi la mashabiki wa kiuma wa Simba, iliyofungwa
3-1 na Azam leo katika Robo Fainali ya Kombe la Kagame.
Carlos Alcaraz OUT of the French Open: World No 2 pulls out of Roland
Garros with wrist injury - handing arch rival Jannik Sinner major boost as
he chases maiden victory
-
The World No 2, who triumphed at the Australian Open at the start of the
year, said on Instagram that he was taking the 'prudent' measure following
tests.
21 minutes ago










.png)
0 comments:
Post a Comment