Mshambuliaji wa Manchester United, Will Keane (kulia) akishangilia na kiungo Juan Mata baada ya kufunga bao katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji Wigan kwenye mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa DW, huo ukiwa mwanzo mzuri kwa kocha mpya Mreno, Jose Mourinho. Bao lingine la United lilifungwa na kiungo Andreas Pereira PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Deion, Shedeur Sanders Attend Lil Wayne Performance After Colorado
Spring Game
-
Colorado head coach Deion Sanders adopted the work hard, play hard concept
for his team's spring game this year. The Buffs took the field Saturday for
their…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment