Pagumu: Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard akichezewa faulo na beki wa Norwich kwenye eneo la hatari, lakini refa akasema aliotea kabla katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Timu hizo zilitoka 0-0. Chelsea inafikisha pointi 79 katika mechi 37, na kubaki nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City pointi 80 sawa na Liverpool walio kileleni kwa wastani wa mabao, baada ya timu zote kucheza mechi 36.
New England Patriots star is offered biggest contract in team history as
Mike Vrabel desperately tries to keep him
-
Trent McDuffie's four-year contract - following his trade from the Kansas
City Chiefs - currently tops NFL cornerbacks with an average yearly value
of appr...
3 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment