Pagumu: Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard akichezewa faulo na beki wa Norwich kwenye eneo la hatari, lakini refa akasema aliotea kabla katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Timu hizo zilitoka 0-0. Chelsea inafikisha pointi 79 katika mechi 37, na kubaki nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City pointi 80 sawa na Liverpool walio kileleni kwa wastani wa mabao, baada ya timu zote kucheza mechi 36.
Revealed: Alarming amount Jadon Sancho has cost Man United as he heads for
exit, fan's plea for answers over alleged assault during sit-in protest and
why Aston Villa game could be pivotal for summer transfer window - Man
United Confidential
-
Sancho has played more times for other clubs than United since he joined
five years ago. He has 12 goals and six assists in 83 games for United, and
nine g...
56 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment