Pagumu: Mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard akichezewa faulo na beki wa Norwich kwenye eneo la hatari, lakini refa akasema aliotea kabla katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Timu hizo zilitoka 0-0. Chelsea inafikisha pointi 79 katika mechi 37, na kubaki nafasi ya tatu nyuma ya Manchester City pointi 80 sawa na Liverpool walio kileleni kwa wastani wa mabao, baada ya timu zote kucheza mechi 36.
Obi Nwosu@90: Soludo, Bishop Ezeokafor, others celebrate Anambra monarch
-
From Aloysius Attah, Onitsha Governor Charles Soludo and the Anambra
State Traditional Rulers Council, among others, have celebrated the
Traditional Ru...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment