• HABARI MPYA

    Sunday, July 01, 2012

    HASSANALI AWANG'ARISHA VIMWANA MISS DAR INTER COLLEGE

    Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Mustafa akimkabidhi zawadi ya gauni lenye thamani ya shilingi 500,000 Miss Dar Intercollege 2012 Hilda Edward ofisini kwake leo, anayeshuhudia ni mratibu wa shindano hilo, Dina Ismail.

    Pichani Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Mustafa akimkabidhi zawadi ya gauni lenye thamani ya shilingi 300,000 Mshindi wa pili wa Miss Dar Intercollege 2012 Jamila Hassanofisini kwake leo, anayeshuhudia ni mratibu wa shindano hilo, Dina Ismail.
    Pichani Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Mustafa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kitongoji cha Miss Dar Intercollege katika shindano la Miss Higher Learning 2012, Hilda Edward na mshindi wa pili Jamila Hassan pamoja na mratibu Dina Ismail ofisini kwake leo, 

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: HASSANALI AWANG'ARISHA VIMWANA MISS DAR INTER COLLEGE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top