• HABARI MPYA

    Monday, July 20, 2026

    SIMBA SC YAMSAJILI BEKI WA AZAM FC NATHANIEL CHILAMBO


    KLABU ya Simba imemtambulisha beki wa kulia, Nathaniel Raphael Chilambo (22) kuwa mchezaji wake mpya kuelekea msimu ujao akijiunga na Wekundu hao wa Msimbazi kutoka Azam FC. 
    Anakuwa mchezaji mpya wa pili baada ya kiungo wa ulinzi, Kelvin Nashon Naftali (25) aliyetambulishwa jana kutoka Pamba Jiji FC ya Mwanza. 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SIMBA SC YAMSAJILI BEKI WA AZAM FC NATHANIEL CHILAMBO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top