// Disable text selection (not fully reliable)
function disableSelection(element) {
element.setAttribute('unselectable', 'on');
element.style.userSelect = 'none';
element.style.MozUserSelect = 'none';
element.style.webkitUserSelect = 'none';
}
// Apply to the entire document body
document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() {
disableSelection(document.body);
});
MJUMBE BODI YA WAKURUGENZI AZAM FC AFIWA NA BABA YAKE MZAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINEMJUMBE BODI YA WAKURUGENZI AZAM FC AFIWA NA BABA YAKE MZAZI - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
MJUMBE BODI YA WAKURUGENZI AZAM FC AFIWA NA BABA YAKE MZAZI
MJUMBE was Bodi ya Wakurugenzi ya Azam FC, Careen Bahadour amefiwa na baba yake mzazi, Mzee Marhun Shermohamed 'Sheru' jana Jumatatu nchini Afrika Kusini alipokuwa anafanyiwa matibabu. Taarifa ya Azam FC mapema leo umesema kwamba mazishi yanafanyika Saa 4:00 asubuhi ya leo kwenye makaburi ya Kisutu, Dar es Salaam baada ya Sala itakayofanyika msikiti wa Maamur, Upanga, “Tunatuma salamu zetu za rambirambi kwa familia ya @careem99_, ndugu, jamaa na marafiki na wote walioguswa na msiba huu,”imesema taarifa ya Azam FC mapema leo. Inna Lillahi Wainna Ilaihi Rajiun! 🙏🙏🙏
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment