// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); NAMUNGO FC YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA RUANGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE NAMUNGO FC YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA RUANGWA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, December 20, 2024

    NAMUNGO FC YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA RUANGWA


    WENYEJI, Namungo FC wamelazimishwa sare ya bila mabao na JKT Tanzania katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majaliwa, Ruangwa mkoani Lindi.
    Kwa matokeo hayo, JKT Tanzania inafikisha pointi 19 katika mchezo wa 14, ingawa inabaki nafasi ya nane, wakati Namungo FC inakamilisha mechi 15 za mzunguko wa kwanza Ligi ya timu 16 ukiwa nafasi ya 13 kwa pointi zake 14.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: NAMUNGO FC YAAMBULIA SULUHU KWA JKT TANZANIA RUANGWA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top