• HABARI MPYA

    Thursday, September 27, 2012

    KIUNGO COASTAL ATOROKA KAMBINI NA KWENDA KUPIGA 'NDONDO' MUHIMBILI

    Jioni hii, BIN ZUBEIRY alitembelea mazoezi ya timu ya Al Nasri kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Muhimbili na kumkuta kiungo wa Coastal Union, Mohamed Bin Slum ‘akipiga ndondo’ wakati timu yake ipo kwenye maandalizi ya Ligi Kuu Tanga, cheki picha mbalimbali za mazoezi ya timu hiyo inayomilikiwa na Nassor Bin Slum, mdhamini mkuu wa Coastal Union na Villa Squad.
    Nassor Bin Slum

    Abdillah 

    Mohamed Bin Slum

    Ally Bin Slum

    Add caption

    Nassor Bin Slum akifumua shuti

    Nassor Bin Slum anamzuia mtu safarini

    Mohamed Bin Slum mwenye beep nyekundu

    Mohamed Bin Slum akiinuka baada ya kuumizwa. Swali, akiumia hapa kwenye 'ndondo' atatibiwa na Coastal au Al Nasri?


    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIUNGO COASTAL ATOROKA KAMBINI NA KWENDA KUPIGA 'NDONDO' MUHIMBILI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top