• HABARI MPYA

    Friday, September 21, 2012

    KIKAO CHA DHARULA YANGA BILA MANJI

    Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya Yanga, wakiwa katika kikao muda huu, makao makuu ya klabu, Jangwani. Hapa anakosekana Mwenyekiti tu, Yussuf Manji, na kikao kinaongozwa na Makamu wake, Clement Sanga kulia kabisa. Kikao hiki kinafuatia Yanga kufanya vibaya katika mechi zake mbili za awali za Ligi Kuu, 0-0 na Prisons mjini Mbeya na kufungwa 3-0 na Mtibwa Sugar. Je, nini kitatokana na kikao hiki? Endelea kufuatilia bongostaz.blogspot.com

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: KIKAO CHA DHARULA YANGA BILA MANJI Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top