• HABARI MPYA

    Saturday, July 07, 2012

    MAZOEZI YA CANNAVARO HADI LUNYAMILA NA MAKOYE WASTAAJABU

    Beki wa Yanga, Nadir Haroub 'Cannavaro' akiwa amemnyanyua mpenzi wa klabu hiyo mlemavu, na kukimbia naye kama anafanya mazoezi. Hii ilikuwa jana makao makuu ya klabu, makutano ya mitaa ya Twiga na Jangwani, Dar es Salaam, baada ya mazoezi ya jioni. Picha ya chini, ni Cannavaro pia akiwa na mshkaji huyo.


    Hapa ni wachezaji wa zamani wa Yanga, Edibily Lunyamila mbele kabisa na Eiphraim Makoye nyuma kushoto, wakistaajabu mazoezi hayo ya Cannavaro jana.

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAZOEZI YA CANNAVARO HADI LUNYAMILA NA MAKOYE WASTAAJABU Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top