• HABARI MPYA

    Sunday, September 02, 2018

    RONALDO AFIKISHA MECHI TATU BILA BAO ITALIA JUVE IKISHINDA 2-1

    Cristiano Ronaldo (katikati) akimpongeza, Mario Mandzukic (kushoto) baada ya kuifungia bao la kwanza dakika ya pili kabla ya kumsetia, Blaise Matuidi kufunga la pili dakika ya 58 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Parma Uwanja wa Ennio Tardini. Bal la Parma limefungwa na Yao Gervinho dakika ya 33 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RONALDO AFIKISHA MECHI TATU BILA BAO ITALIA JUVE IKISHINDA 2-1 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top