• HABARI MPYA

    Wednesday, March 31, 2021
    MWANAYANGA NA MMILIKI WA SINGIDA UNITED, DK MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA NAFASI YA DK MPANGO WIZARA YA FEDHA

    MWANAYANGA NA MMILIKI WA SINGIDA UNITED, DK MWIGULU NCHEMBA ACHUKUA NAFASI YA DK MPANGO WIZARA YA FEDHA

    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mama Samiah Suluhu Hassan amemteua Dk Mwigulu Lameck Nchemba, Mlezi wa klabu ya Singida United kuwa...
    TANZANIA YAJIWEKA PAZURI KUFUZU AFCON YA SOKA LA UFKWENI BAADA YA KUIPIGA BURUNDI 8-3

    TANZANIA YAJIWEKA PAZURI KUFUZU AFCON YA SOKA LA UFKWENI BAADA YA KUIPIGA BURUNDI 8-3

    TANZANIA jana imeichapa Burundi 8-3 katika mcheza wa kwanza kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa soka la Ufukweni (AFCON - Beach...
    Tuesday, March 30, 2021
    ALIYELISIFIA BAO LA MORRISON BUNGENI ATEULIWA KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    ALIYELISIFIA BAO LA MORRISON BUNGENI ATEULIWA KUWA MAKAMU WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan amewasilisha jina la Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpan...
    Monday, March 29, 2021
    MKENYA RAZACK SIWA ASAINI MKATABA WA KUWA KOCHA WA MAKIPA WA KLABU YA YANGA

    MKENYA RAZACK SIWA ASAINI MKATABA WA KUWA KOCHA WA MAKIPA WA KLABU YA YANGA

    KAIMU Katibu Mkuu wa Yanga SC, Hajji Mfikirwa akiwa ameshika nakala za mkataba pamoja na Razak Siwa (kulia) baada ya Mkenya huyo kuajiriwa k...
    Sunday, March 28, 2021
    TAIFA STARS YAKAMILISHA MECHI ZAKE ZA KUFUZU AFCON KWA KUICHAPA LIBYA 1-0 BAO PEKEE LA MSUVA

    TAIFA STARS YAKAMILISHA MECHI ZAKE ZA KUFUZU AFCON KWA KUICHAPA LIBYA 1-0 BAO PEKEE LA MSUVA

    TANZANIA imekamilisha mechi zake za Kundi J kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa ushindi wa 1-0 dhidi ya Libya leo Uwanja wa Ben...
    Friday, March 26, 2021
    TAIFA STARS YATUPWA NJE AFCON YA CAMEROON MWAKANI BAADA YA KUPIGWA 1-0 NA EQUATORIAL GUINEA MJINI MALABO

    TAIFA STARS YATUPWA NJE AFCON YA CAMEROON MWAKANI BAADA YA KUPIGWA 1-0 NA EQUATORIAL GUINEA MJINI MALABO

    TANZANIA imetupwa nje ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya kuchapwa 1-0 na wenyeji, Equatorial Guinea jana Uwanja wa Nu...
    Thursday, March 25, 2021
    Wednesday, March 24, 2021
    BOSI WA SIMBA SC, MO DEWJI ALIVYOMUAGA ALIYEKUWA RAIS WA TANZANIA DK JOHN POMBE MAGUFULI

    BOSI WA SIMBA SC, MO DEWJI ALIVYOMUAGA ALIYEKUWA RAIS WA TANZANIA DK JOHN POMBE MAGUFULI

    MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Mohamed 'Mo' Dewji akiuaga mwili wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
    Tuesday, March 23, 2021
    TAIFA STARS KATIKA MAZOEZI YA MWISHO NAIROBI KABLA YA KUWAFUATA EQUATORIAL GUINEA MECHI YA KUFUZU AFCON MALABO

    TAIFA STARS KATIKA MAZOEZI YA MWISHO NAIROBI KABLA YA KUWAFUATA EQUATORIAL GUINEA MECHI YA KUFUZU AFCON MALABO

    WACHEZAJI wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakifanya mazoezi ya mwisho Uwanja wa Chuo cha Utalii, Nairobi, Kenya, kabla ya ...
    Monday, March 22, 2021
    Sunday, March 21, 2021
    BOSI MKUBWA WA AZAM FC AUNGANA NA WATANZANIA WENGINE KUMUAGA ALIYEKUWA RAIS WA TANZANIA DK JOHN MAGUFULI

    BOSI MKUBWA WA AZAM FC AUNGANA NA WATANZANIA WENGINE KUMUAGA ALIYEKUWA RAIS WA TANZANIA DK JOHN MAGUFULI

    Mtendaji Mkuu wa Bakhresa Group, Abubakar Bakhresa (katikati), wamiliki wa Azam FC akiwa na Mkurugenzi wa Mahusiano wa kampuni hiyo, Hussein...
    WACHEZAJI WA YANGA SC WALIVYOUAGA MWILI WA ALIYEKUWA RAIS WA TANZANIA, DK JOHN POMBE MAGUFULI

    WACHEZAJI WA YANGA SC WALIVYOUAGA MWILI WA ALIYEKUWA RAIS WA TANZANIA, DK JOHN POMBE MAGUFULI

      KIUNGO mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Abdul Razak Fiston akiwoangoza wachezaji wenzake na Maafisa mbalimbali kwenda kuuaga mwili wa...
    Saturday, March 20, 2021
    RAIS WA TFF, WALLACE KARIA ALIPOTOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI

    RAIS WA TFF, WALLACE KARIA ALIPOTOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI MSIBA WA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DK JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI

    RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wallace Karia, akisaini kitabu cha waombolezaji kwenye msiba wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muun...
    Friday, March 19, 2021
    Thursday, March 18, 2021
    Wednesday, March 17, 2021
    NAMUNGO FC YAPIGWA TENA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO, YACHAPWA 2-0 NA PYRAMIDS YA MISRI LEO DAR

    NAMUNGO FC YAPIGWA TENA MAKUNDI KOMBE LA SHIRIKISHO, YACHAPWA 2-0 NA PYRAMIDS YA MISRI LEO DAR

    MABAO ya Ramadhani Sobhi dakika ya 71 kwa penalti na Omar Gaber dakika ya 84 leo yameipa Pyramids FC ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Namung...
    SIMON MSUVA ATAMANI KUKUTANA NA SIMBA SC KATIKA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

    SIMON MSUVA ATAMANI KUKUTANA NA SIMBA SC KATIKA ROBO FAINALI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

    KIUNGO wa zamani wa Yanga SC, Simon Happygod Msuva amesema atafurahi kukutana na timu ya nyumbani, Simba SC katika Robo Fainali ya Ligi ya M...
    MANCHESTER CITY YATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    MANCHESTER CITY YATINGA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA ULAYA

    MABAO ya Kevin De Bruyne dakika ya 12 na Ilkay Gundogan dakika ya 18 jana yaliipa Manchester City ushindi wa 2-0 dhidi ya Borussia Monchengl...
    Tuesday, March 16, 2021
    SIMBA YAITANDIKA EL MERREIKH 3-0 DAR NA KUTANGULIZA MGUU MMOJA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA

    SIMBA YAITANDIKA EL MERREIKH 3-0 DAR NA KUTANGULIZA MGUU MMOJA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA

    Na Asha Kigundula, DAR ES SALAAM MABINGWA wa Tanzania, Simba SC jana wameendeleza furaha kwa mashabiki wake baaada ya ushindi wa 3-0 dhidi y...
    ANTHONY JOSHUA NA TYSON FURY WASAINI MKATABA KUPAMBANA

    ANTHONY JOSHUA NA TYSON FURY WASAINI MKATABA KUPAMBANA

    MABONDIA Waingereza Anthony Joshua na Tyson Fury wamesaini mkataba wa Pauni Milioni 200 kwa ajili ya pambano la kuunganisha mataji ya uzito ...
    Monday, March 15, 2021
    TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA HARAMBEE SRARS KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI LEO NAIROBI

    TAIFA STARS YACHAPWA 2-1 NA HARAMBEE SRARS KATIKA MCHEZO WA KIRAFIKI LEO NAIROBI

    WENYEJI, Kenya wameibuka na ushindi wa 2-1 dhidi ya Tanzania katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa jioni ya leo Uwania wa Nyayo Jijini Nair...
    Sunday, March 14, 2021
    GWAMBINA FC YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA POLISI TANZANIA MISUNGWI, LEO NI PRISONS NA JKT SUMBAWANGA

    GWAMBINA FC YALAZIMISHWA SARE YA 0-0 NA POLISI TANZANIA MISUNGWI, LEO NI PRISONS NA JKT SUMBAWANGA

    BAADA ya Gwambina FC kulazimishwa suluhu na Polisi Tanzania Misungwi mkoani Mwanza jana – Ligi Kuu ya Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea le...
    Friday, March 12, 2021
    IDDI SULEIMAN 'NADO' APIGA MBILI, AYOUB LYANGA MOJA AZAM FC YAWACHAPA IHEFU SC 3-0 LIGI KUU CHAMAZI

    IDDI SULEIMAN 'NADO' APIGA MBILI, AYOUB LYANGA MOJA AZAM FC YAWACHAPA IHEFU SC 3-0 LIGI KUU CHAMAZI

    MABAO ya Iddi Suleiman 'Nado' dakika ya tisa na 90 na Ayoub Lyanga dakika ya 52 jana yaliipa Azam FC ushindi wa 3-0 dhidi ya Ihefu S...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top