• HABARI MPYA

    Monday, September 24, 2018

    TAMBWE ALIVYOZINDUKA YANGA IKIICHAPA SINGIDA UNITED 2-0 JANA TAIFA

    Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe akimtazama kipa wa Singida United, David Kissu baada ya kuokoa jana wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baina ya timu hizo Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 2-0 mabao yote akifunga Amissi Tambwe.  
    Mshambuliaji wa Yanga, Matheo Anthony akifumua shuti jana 
    Kiungo Ibrahim Ajib akipoga pasi ya juu  
    Kiungo wa Yanga, Deus Kaseke (kushoto) akipambana na wachezaji wa Singida United
    Kikosi cha Yanga kwenye mchezo wa jana 
    Kikosi cha Singida United kwenye mchezo wa jana
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: TAMBWE ALIVYOZINDUKA YANGA IKIICHAPA SINGIDA UNITED 2-0 JANA TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top