• HABARI MPYA

    Thursday, September 27, 2018

    REAL MADRID 'ROJO ROJO', WACHAPWA 3-0 NA SEVILLA LA LIGA

    Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric (kushoto) na Gareth Bale wakiwa hoi baada ya Real Madrid kufungwa bao la tatu wakilala 3-0 mbele ya Sevilla katika mchezo wa La Liga usiku wa Jumatano Uwanja wa Ramon Sanchez Pizjuan mjini Sevilla. Mabao hayo yamefungwa na Andre Silva mawili dakika za 17 na 21 na Wissam Ben Yedder dakika ya 39 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: REAL MADRID 'ROJO ROJO', WACHAPWA 3-0 NA SEVILLA LA LIGA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top