• HABARI MPYA

    Saturday, September 29, 2018

    OZIL AFUNGA ARSENAL YAICHAPA 2-0 WATFORD EMIRATES

    Mesut Ozil (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London kufuatia Craig Cathcart kujifunga dakika ya 81 kuwapatia Washika Bunduki hao bao la kwanza 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: OZIL AFUNGA ARSENAL YAICHAPA 2-0 WATFORD EMIRATES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top