Mesut Ozil (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la pili dakika ya 83 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates, London kufuatia Craig Cathcart kujifunga dakika ya 81 kuwapatia Washika Bunduki hao bao la kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment