Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Huesca kwenye mchezo wa La Liga jana. Mabao mengine ya Atletico yalifungwa na Thomas Partey dakika ya 29 na Koke dakika ya 33 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jurgen Klopp Slams Translator over Wrong Jordan Henderson Quote
-
Liverpool manager Jurgen Klopp was annoyed after a German translator
misquoted Jordan Henderson during a press conference previewing the clash
with Red Bul...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment