Antoine Griezmann akishangilia baada ya kuifungia Atletico Madrid bao la kwanza dakika ya 16 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Huesca kwenye mchezo wa La Liga jana. Mabao mengine ya Atletico yalifungwa na Thomas Partey dakika ya 29 na Koke dakika ya 33 Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olympics shock as star makes stunning defection to Australia - and he could
challenge Gout Gout
-
New Zealand's fastest man Eddie Osei-Nketia has officially changed
allegiances in a move that could have major ramifications for Australian
sprinting ahead...
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment