• HABARI MPYA

    Sunday, September 30, 2018

    MATOEKO YA MECHI ZOTE NA LIGI KUU SIMBA NA YANGA:

    JUMLA ya mechi 100  za Ligi Kuu na Ligi ya iliyokuwa Ligi Kuu ya Muungano zimekwishazikutanisha Simba na Yanga tangu mchezo wa kwanza Juni 7, mwaka 1975.
    Na katika mechi hizo, Yanga ndiyo iliyoshinda mara nyingi zaidi, mara 36 dhidi ya mara 27 za Simba, huku mechi nyingine 34 timu hizo zikitoka sare.  
    Mshambuliaji wa Yanga SC, Maulid Dilunga wa Yanga akiondoka na mpira akifuatiwa na mchezaji mwenzake, Sunday Manara nyuma katika mechi dhidi ya Simba SC miaka ya 1970

    REKODI YA SIMBA NA YANGA LIGI KUU PEKEE
                            P W D L Pts 
    Yanga SC 100 36 34 27 114
    Simba SC 100 27 34 36 86

    MATOKEO YA MECHI ZILIZOPITA ZA WATANI WA JADI;
    JUNI 7, 1965
    Yanga v Sunderland (Simba)
    1-0
    MFUNGAJI: Mawazo Shomvi dk. 15).

    JUNI 3,  1966
    Yanga v Sunderland (Simba)
    3-2
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Abdulrahman Lukongo dk. 54, Andrew Tematema dk 67, Emmanuel Makaidi dk. 83. Sunderland: Mustafa Choteka dk 24, Haji Lesso dk. 86.

    NOVEMBA 26, 1966
    Sunderland v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mustafa Choteka dk. 44.

    MACHI 30, 1968
    Yanga v Sunderland
    1-0
    MFUNGAJI: Kitwana Manara dk. 28.

    JUNI 1, 1968
    Yanga v Sunderland
    5-0
    WAFUNGAJI:
    Maulid Dilunga dk. 18 (penalti), Dilunga dk. 43, Salehe Zimbwe dk. 54, Zimbwe dk. 89, Kitwana Manara dk. 86.

    MACHI 3, 1969
    Yanga v Sunderland
    (Yanga ilipewa pointi za chee na ushindi wa mabao 2-0, baada ya Sunderland kugoma kuingia uwanjani).

    JUNI 4, 1972
    Yanga v Sunderland
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Kitwana Manara dk. 19,
    Sunderland: Willy Mwaijibe dk. 11.

    JUNI 18, 1972
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Leonard Chitete.

    JUNI 23,  1973
    Simba v Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Haidari Abeid 'Muchacho' dk. 68.

    AGOSTI 10, 1974
    Yanga v Simba
    2-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Gibson Sembuli dk. 87, Sunday Manara dk. 97.
    Simba: Adam Sabu dk. 16.
    (Mechi ya kihistoria iliyochezwa Uwanja wa Nyamagana mjini Mwanza).

    JULAI 19, 1977
    Simba v Yanga
    6-0
    WAFUNGAJI:
    Abdallah Kibadeni dk. 10, 42 na 89, Jumanne Hassan 'Masimenti' dk. 60 na 73, Selemani Sanga alijifunga dk. 20.

    OKTOBA 7, 1979
    Simba v Yanga
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Simba: Nico Njohole dk. 3, Mohammed Bakari 'Tall' dk. 38, Abbas Dilunga dk.72. Yanga: Rashidi Hanzuruni dk. 4.

    OKTOBA 4, 1980
    Simba v Yanga
    3-0
    WAFUNGAJI: Abdallah Mwinyimkuu dk. 29, Thuwein Ally dk. 82, Nico Njohole dk. 83.

    SEPTEMBA 5, 1981
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Juma Hassan Mkambi dk. 42

    APRILI 29, 1982
    Yanga v Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Rashid Hanzuruni dk 2.

    SEPTEMBA 18, 1982
    Yanga 3-0 Simba
    WAFUNGAJI:
    Omar Hussein dk. 2 na 85, Makumbi Juma dk. 62.

    FEBRUARI 10, 1983
    Yanga v Simba.
    0-0

    APRILI 16, 1983
    Yanga v Simba
    3-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Charles Mkwasa dk21, Makumbi Juma dk38, Omar Hussein dk84, 
    Simba; Kihwelo Mussa dk14.

    SEPTEMBA 10, 1983, 
    Yanga v Simba 
    2-0
    WAFUNGAJI: Lila Shomari alijifunga dk. 72, Ahmed Amasha dk. 89. 

    SEPTEMBA 25, 1983
    Yanga v Simba
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Makumbi Juma dk. 75, 
    Simba: Sunday Juma dk. 72.

    MACHI 10, 1984
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Omar Hussein dk. 72.
    Simba: Idd Pazi kwa penalti dk 20.

    JULAI 14, 1984
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Abeid Mziba dk. 39.
    Simba: Zamoyoni Mogella dk. 17

    MEI 19, 1985
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Omar Hussein dk. 6
    Simba: Mohammed Bob Chopa dk. 30.

    AGOSTI 10, 1985
    Yanga v Simba 
    2-0

    MACHI 15, 1986
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Abeid Mziba dk. 44
    Simba: John Hassan Douglas dk. 20.

    AGOSTI 23, 1986
    Simba v Yanga 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Edward Chumila dk. 9, Malota Soma dk. 51
    Yanga: Omar Hussein dk. 5.

    JUNI 27, 1987
    Yanga v Simba 
    1-0
    MFUNGAJI: Edgar 'Fongo' Mwafongo dk. 36.

    AGOSTI 15, 1987
    Yanga v Simba 
    1-0
    MFUNGAJI: Abeid Mziba dk. 14.

    APRILI 30, 1988
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Justin Mtekere dk. 28
    Simba: Edward Chumila dk. 25.

    JULAI 23, 1988
    Simba v Yanga 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Edward Chumila 21, John Makelele dk. 58
    Yanga: Issa Athumani dk. 36.

    JANUARI 28, 1989
    Yanga v Simba 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Issa Athumani dk. 4, Abeid Mziba dk. 85
    Simba: Malota Soma dk. 30.

    MEI 21, 1989
    Yanga v Simba
    0-0

    MEI 26, 1990 
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Mavumbi Omari dk 6.

    OKTOBA 20, 1990
    Yanga v Simba 
    3-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Makumbi Juma dk 33, Thomas Kipese dk. 82, Sanifu Lazaro dk. 89
    Simba: Edward Chumila dk. 58.

    MEI 18, 1991
    Yanga v Simba 
    1-0
    MFUNGAJI: Said Sued 'Scud' dk.  7.

    AGOSTI 31, 1991
    Yanga v Simba 
    1-0
    MFUNGAJI: Said Sued Scud.

    OKTOBA 9, 1991
    Yanga v Simba 
    2-0
    WAFUNGAJI: Athumani China dk. 3, Abubakar Salum 'Sure Boy' dk. 54.

    NOVEMBA 13, 1991
    Yanga v Simba 
    2-0

    APRILI 12, 1992
    Yanga 1-0 Simba 
    MFUNGAJI: Kenneth Mkapa dk. 10.

    SEPTEMBA 26, 1992
    Simba v Yanga
    2-0

    OKTOBA 27, 1992
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Damian Morisho Kimti.

    MACHI 27, 1993
    Yanga v Simba 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Said Mwamba Kizota dk. 47 na 57
    Simba: Edward Chumila dk. 75.

    JULAI 17, 1993
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Dua Said dk. 69.

    SEPTEMBA 26, 1993
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Dua Said dk. 13.

    NOVEMBA 6, 1993
    Simba v Yanga
    0-0

    FEBRUARI 26, 1994
    Yanga v Simba 
    2-0
    MFUNGAJI: Mohammed Hussein 'Mmachinga' na James Tungaraza 'Boli Zozo'.

    JULAI 2, 1994
    Simba v Yanga 
    4-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: George Masatu, Athumani China, Madaraka Selemani, Dua Saidi Yanga; Constantine Kimanda.

    NOVEMBA 2, 1994
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Madaraka Selemani dk. 71

    NOVEMBA 21, 1994
    Simba v Yanga 
    2-0
    WAFUNGAJI: George Lucas dk. 18, Madaraka Selemani dk. 42.

    MACHI 18, 1995
    Simba v Yanga
    0-0

    OKTOBA 4, 1995
    Simba v Yanga 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Mchunga Bakari dk. 79, 
    Yanga: Mohamed Hussein ÔMmachingaŐ dk. 40.

    FEBRUARI 25, 1996
    Yanga v Simba
    2-0

    SEPTEMBA 21, 1996
    Yanga v Simba 
    0-0

    OKTOBA 23, 1996
    Yanga v Simba 
    1-0
    MFUNGAJI: Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk. 46

    NOVEMBA 9, 1996
    Yanga v Simba 
    4-4
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Edibilly Lunyamila (penalti) dk. 28, Mustafa Hozza alijifunga dk 64, Said Mwamba 'Kizota' dk. 70, Sanifu Lazaro dk. 75.
    Simba: Thomas Kipese dk. 7, Ahmed Mwinyimkuu dk. 43, Dua Saidi dk. 60 na 90.
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

    APRILI 26, 1997
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI:
    Yanga: Idelfonce Amlima dk. 16
    Simba: Abdallah Msamba sekunde ya. 56

    AGOSTI 31, 1997
    Yanga v Simba 
    0-0

    OKTOBA 11, 1997
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Sekilojo Chambua dk. 52
    Simba: George Masatu dk. 89
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya)

    NOVEMBA 8, 1997
    Yanga v Simba 
    1-0
    MFUNGAJI: Sekilojo Chambua dk. 85
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma) 

    FEBRUARI 21, 1998
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Akida Makunda dk. 46
    Simba: Athumani Machepe dk. 88

    JUNI 7, 1998
    Yanga v Simba 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Idelfonce Amlima dk. 28
    Simba: Abuu Juma (penalti) dk. 32

    MEI 1, 1999
    Yanga v Simba 
    3-1
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Idd Moshi dk. 59, Kalimangonga Ongala dk. 64, Salvatory Edward dk. 70, Simba: Juma Amir dk. 12.

    AGOSTI 29, 1999
    Yanga v Simba 
    2-0
    WAFUNGAJI: Bakari Malima dk. 49, Mohamed Hussein 'Mmachinga' dk 71

    JUNI 25, 2000
    Simba v Yanga 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Steven Mapunda dk. 59 na 72
    Yanga: Idd Moshi dk. 4.

    AGOSTI 5, 2000
    Yanga v Simba 
    2-0
    MFUNGAJI: Iddi Moshi 37 na 47. (Alifunga mabao hayo, akitoka kwenye fungate ya ndoa yake)

    SEPTEMBA 1, 2001
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Joseph Kaniki dk. 76

    SEPTEMBA 30, 2001
    Simba v Yanga 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Joseph Kaniki dk. 65, 
    Yanga: Sekilojo Chambua dk. 86
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza)

    AGOSTI 18, 2002
    Simba v Yanga 
    1-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Madaraka Selemani 65
    Yanga: Sekilojo Chambua (penalti). dk. 89

    NOVEMBA 10, 2002
    Simba v Yanga 
    0-0

    SEPTEMBA 28, 2003
    Simba v Yanga 
    2-2
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Emmanuel Gabriel dk. 27 na 36
    Yanga: Kudra Omary dk. 42, Heri Morris dk. 55

    NOVEMBA 2, 2003
    Simba v Yanga 
    0-0

    AGOSTI 7, 2004
    Simba v Yanga 
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Shaaban Kisiga dk. 64, Ulimboka Mwakingwe dk. 76
    Yanga: Pitchou Kongo dk. 48

    SEPTEMBA 18, 2004
    Simba v Yanga 
    1-0
    MFUNGAJI: Athumani Machuppa dk. 82

    APRILI 17,  2005
    Simba v Yanga
    2-1
    WAFUNGAJI: 
    Simba: Nurdin Msiga dk. 44, Athumani Machupa dk. 64,
    Yanga: Aaron Nyanda dk. 39
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    AGOSTI 21, 2005
    Simba v Yanga 
    2-0
    MFUNGAJI: Nico Nyagawa dk. 22 na 56
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha)

    MACHI 26, 2006 
    Simba v Yanga.
    0-0

    OKTOBA 29, 2006
    Simba v Yanga
    0-0

    JULAI 8, 2007
    Simba v Yanga
    1-1 (dakika 120)
    WAFUNGAJI:
    Simba: Moses Odhiambo (penalti dk. 2)
    Yanga: Said Maulid (dk. 55).
    (Simba ilishinda kwa mikwaju ya penalti 5-4 baada ya sare hiyo).
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    OKTOBA 24, 2007:
    Simba Vs Yanga 
    1-0
    Mfungaji: Ulimboka Mwakingwe
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja wa Jamhuri, Morogoro)

    APRILI 27, 2008:
    Simba Vs Yanga
    0-0

    OKT 26, 2008
    Yanga Vs Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Ben Mwalala dk15. 
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

    APRILI  19, 2009
    Simba Vs Yanga 
    2-2
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Ramadhan Chombo dk 23, Haruna Moshi dk 62
    YANGA: Ben Mwalala dk48, Jerry Tegete dk90
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)
    (Matokeo haya yanahusu mechi za Ligi ya Bara na iliyokuwa Ligi ya Muungano pekee)

    OKTOBA 31, 2009
    Simba Vs Yanga
    1-0
    MFUNGAJI: Mussa Hassan Mgosi dk 26
    (Mechi hii ilichezwa Uwanja mpya wa Taifa, Dar es Salaam)

    APRILI 18, 2010
    Simba Vs Yanga
    4-3
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Uhuru Suleiman dk 3, Mussa Mgosi dk 53 na 74, Hillary Echesa dk 90+  
    YANGA: Athumani Iddi dk 30, Jerry Tegete dk 69 na 89 

    OKTOBA 16, 2010:
    Yanga Vs Simba
    1-0
    MFUNGAJI: Jerry Tegete dk 70

    MACHI 5, 2011
    Simba Vs Yanga
    1-1
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Stefano Mwasyika (penalti) dk 59. 
    SIMBA:  Mussa Mgosi dk 73.
    (Refa Orden Mbaga alizua tafrani uwanjani, kwanza kwa kulikataa bao la kusawazisha la Simba, kisha akalikubali baada ya kujadiliana na msaidia wake namba moja)

    OKTOBA 29, 2011
    Yanga 1-0 Simba
    MFUNGAJI: Davies Mwape dakika ya 75


    MEI 6, 2012
    Simba 5-0 Yanga SC
    WAFUNGAJI: 
    Emmanuel Okwi (dk 2 na 62), Felix Sunzu (penalti 56), Juma Kaseja (penalti dk 67) na Patrick Mafisango (penalti dk 72)
    (Ligi Kuu)

    OKTOBA 3, 2013
    Simba 1-1 Yanga SC
    WAFUNGAJI:
    Simba SC: Amri Kiemba dk3
    Yanga SC: Said Bahanuzi dk65
    (Ligi Kuu)

    MEI 18, 2013
    Yanga 2-0 Simba SC
    WAFUNGAJI: Didier Kavumbangu dk 5 na Hamisi Kiiza dk 62.

    OKTOBA 20, 2013
    Yanga SC 3-3 Simba SC
    WAFUNGAJI:
    Yanga SC: Mrisho Ngassa dk15, Hamisi Kiiza dk36 na 45
    Simba SC: Betram Mombeki dk54, Joseph Owino dk58 na Gilbert Kaze dk85.

    APRILI 19, 2014
    Simba SC 1-1 Yanga SC
    WAFUNGAJI:
    Simba SC; Haroun Chanongo dk76
    Yanga SC: Simon Msuva dk86

    OKTOBA 18, 2014
    Simba SC 0-0 Yanga SC

    MACHI 8, 2015
    Simba 1-0 Yanga SC
    MFUNGAJI; Emmanuel Okwi dk52

    SEPTEMBA 26, 2015
    Yanga SC 2-0 Simba SC
    WAFUNGAJI:
    Yanga SC: Amissi Tambwe dk44 na Malimi Busungu dk79

    FEBRUARI 20, 2016
    Yanga SC 2-0 Simba SC
    WAFUNGAJI:
    Donald Ngoma dk39 na Amissi Tambwe dk72

    OKTOBA 1, 2016
    Simba 1-1 Yanga
    WAFUNGAJI: 
    Yanga: Amissi Tambwe dk26
    Simba: Shiza Kichuya dk87

    FEBRUARI 26, 2017
    Simba 2-1 Yanga
    WAFUNGAJI:
    YANGA: Simon Msuva (penalti) dk5
    SIMBA: Laudit Mavugo dk66 na Shiza Kichuya dk81

    OKTOBA 28, 2017
    1-1
    WAFUNGAJI:
    SIMBA: Shiza Kichuya dk57
    YANGA: Obrey Chirwa dk60

    APRILI 29, 2018
    Simba SC 1-0 Yanga SC
    MFUNGAJI: Erasto Nyoni dk37
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MATOEKO YA MECHI ZOTE NA LIGI KUU SIMBA NA YANGA: Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top