Cristiano Ronaldo wa akionyesha uwezo wake katika mchezo wa Serie A Juventus ikishinda 3-1 dhidi ya Napoli Uwanja wa Allianz mjini Torino. Ronaldo aliwasetia Mario Mandzukic kufunga bao la kwanza dakika ya 26 na Leonardo Bonucci la tatu dakika ya 76. Mandzukic alifunga pia la pili dakika ya 49, wakati bao la Napoli lilifungwa na Dries Mertens dakika ya 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
27 minutes ago
0 comments:
Post a Comment