Mshambuliaji Mohamed Salah akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la tatu dakika ya 45 na ushei katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Southampton leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Liverpool yamefungwa na Wesley Hoedt aliyejifunga dakika ya 10 na Joel Matip dakika ya 21 huo ukiwa ushindi wa saba mfululizo kwa Wekundu hao tangu kuanza kwa msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Soccer Aid 2024: Alex Scott returns as host while Bobby Brazier and Tommy
Fury lead the stars lacing up their boots and taking to the pitch for
annual charity match
-
Soccer Aid for UNICEF 2024 has announced it's celebrity players ahead of
the annual charity match on Sunday 9th June at Stamford Bridge.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment