• HABARI MPYA

    Wednesday, October 31, 2018
    KOCHA PAWASA ATAJA KIKOSI CHA FAINALI ZA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI KASEJA NA MUSSA MGOSI NDANI

    KOCHA PAWASA ATAJA KIKOSI CHA FAINALI ZA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI KASEJA NA MUSSA MGOSI NDANI

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KOCHA Mkuu wa timu ya taifa ya soka la ufukweni, Boniface Pawasa ametaja kikosi chake kwa ajili ya Fainal...
    KMC YAISHINDILIA NDANDA FC 3-0 NA KUJIINUA KIDOGO KUTOKA CHINI KWENYE MSIMAMO WA LIGI KUU

    KMC YAISHINDILIA NDANDA FC 3-0 NA KUJIINUA KIDOGO KUTOKA CHINI KWENYE MSIMAMO WA LIGI KUU

    TIMU ya Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni (KMC) leo imebuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Ndanda FC ya Mtwara katika mchezo wa Ligi K...
    MOHAMMED ISSA ‘BANKA’ KUANZA KUICHEZEA YANGA FEBRUARI 8 MWAKANI ADHABU YAKE YA BANGI IKIISHA

    MOHAMMED ISSA ‘BANKA’ KUANZA KUICHEZEA YANGA FEBRUARI 8 MWAKANI ADHABU YAKE YA BANGI IKIISHA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KIUNGO Mohammed Issa Juma 'Banka' ataruhusiwa kuendelea kucheza soka ifikapo Februari 8 mwakani a...
    BAYERN WAIPIGA 2-1 TIMU YA DARAJA LA NNE KOMBE LA UJERUMANI

    BAYERN WAIPIGA 2-1 TIMU YA DARAJA LA NNE KOMBE LA UJERUMANI

    Wachezaji wa Bayern Munich wakishangilia ushindi wao wa mabao 2-1 dhidi ya wenyeji, Rodinghausen ya Daraja la Nne kwenye mchezo wa Kombe ...
    Tuesday, October 30, 2018
    YANGA SC YAREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU BAADA YA KUIPIGA LIPULI FC 1-0 BAO PEKEE LA MAKAMBO TAIFA

    YANGA SC YAREJEA NAFASI YA PILI LIGI KUU BAADA YA KUIPIGA LIPULI FC 1-0 BAO PEKEE LA MAKAMBO TAIFA

    Na Nasra Omar, DAR ES SALAAM TIMU ya Yanga SC imerudi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa bao 1...
    MBAO FC CHUPUCHUPU KUPIGWA TENA KIRUMBA, YACHOMOA DAKIKA 10 ZA MWISHO SARE 2-2 NA MBEYA CITY

    MBAO FC CHUPUCHUPU KUPIGWA TENA KIRUMBA, YACHOMOA DAKIKA 10 ZA MWISHO SARE 2-2 NA MBEYA CITY

    Na Mwandishi Wetu, MWANZA TIMU ya Mbao FC leo imeponea chupuchupu kupoteza mechi ya pili mfululizo nyumbani, baada ya kulazimisha sare ya ...
    TFF KUSAFIRISHA WAANDISHI WA HABARI 15 KWA BASI KWENDA KURIPOTI MECHI YA TAIFA STARS NA LESOTHO

    TFF KUSAFIRISHA WAANDISHI WA HABARI 15 KWA BASI KWENDA KURIPOTI MECHI YA TAIFA STARS NA LESOTHO

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetoa nafasi 15 za usafiri wa basi kwa Waandishi wa Habari kwenda Les...
    MAHREZ AFUNGA BAO PEKE MAN CITY YAWAPIGA 1-0 TOTTENHAM WEMBELY

    MAHREZ AFUNGA BAO PEKE MAN CITY YAWAPIGA 1-0 TOTTENHAM WEMBELY

    Mshambuliaji wa Manchester City, Riyad Mahrez akitafuta maarifa ya kuwapita wachezaji wa Tottenham Hotspur usiku wa jana katika mchezo wa...
    KOCHA WA TIMU B ARITHISHWA MIKOBA YA LOPETEGUI ALIYEFUKUZWA REAL MADRID

    KOCHA WA TIMU B ARITHISHWA MIKOBA YA LOPETEGUI ALIYEFUKUZWA REAL MADRID

    KLABU ya Real Madrid imemfukuza kocha wake, Julen Lopetegui na kumpandisha kocha wa timu B, Santiago Solari kuiongoza timu kwa muda. Bodi ...
    Monday, October 29, 2018
    MWADUI FC WAWATWANGA WAPINZANI WAO WA SHINYANGA NA KUANZA KUJINASUA MKIANI LIGI KUU

    MWADUI FC WAWATWANGA WAPINZANI WAO WA SHINYANGA NA KUANZA KUJINASUA MKIANI LIGI KUU

    Na Mwandishi Wetu, SHINYANGA TIMU ya Mwadui FC imeanza kujiinua kutoka mkiani baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji, Stand United katik...
    MSEMAJI WA SIMBA SC, HAJJI SUNDAY MANARA ATEULIWA KUWA BALOZI WA KAMPUNI YA ASAS YA IRINGA

    MSEMAJI WA SIMBA SC, HAJJI SUNDAY MANARA ATEULIWA KUWA BALOZI WA KAMPUNI YA ASAS YA IRINGA

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM MKUU wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba, Hajji Sunda...
    WATANO WAFARIKI DUNIA KWENYE HELIKOPTA YA MMILIKI WA LEICESTER

    WATANO WAFARIKI DUNIA KWENYE HELIKOPTA YA MMILIKI WA LEICESTER

    WATU watano wamefariki dunia pamoja na mmiliki wa klabu ya Leicester City ya England, bilionea Vichai Srivaddhanaprabha baada ya helikopta ...
    SAMATTA AFUNGA BAO BADO KIDOGO GENK ISHINDE, IKASAWAZISHIWA DAKIKA YA MWISHO NA KUTOA SARE 1-1 UGENINI

    SAMATTA AFUNGA BAO BADO KIDOGO GENK ISHINDE, IKASAWAZISHIWA DAKIKA YA MWISHO NA KUTOA SARE 1-1 UGENINI

    Na Mwandishi Wetu, LIEGE MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana alifunga bao lililoelekea kuipa ushindi timu yake...
    Sunday, October 28, 2018
    PENALTI MBILI ZAIKOSESHA USHINDI ARSENAL, YATOA SARE 2-2 NA PALACE

    PENALTI MBILI ZAIKOSESHA USHINDI ARSENAL, YATOA SARE 2-2 NA PALACE

    Mshambuliaji wa Crystal Palace, Wilfried Zaha akijaribu kupasua katikati ya wachezaji wa Arsenal, Alex Iwobi na Matteo Guendouzi katika m...
    POGBA AFUNGA LA KWANZA, ASETI LA PILI MAN UNITED YAICHAPA EVERTON 2-1

    POGBA AFUNGA LA KWANZA, ASETI LA PILI MAN UNITED YAICHAPA EVERTON 2-1

    Paul Pogba na Anthony Martial wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 2-1wa Manchester United dhidi ya Everton leo Uwanja w...
    MMILIKI WA LEICESTER CITY AFARIKI DUNIA NDANI YA HELIKOPTA YAKE ILIYOTEKETEA KWA MOTO

    MMILIKI WA LEICESTER CITY AFARIKI DUNIA NDANI YA HELIKOPTA YAKE ILIYOTEKETEA KWA MOTO

    IMETHIBITISHWA mmiliki wa klabu ya Leicester City ya England, Vichai Srivaddhanaprabha amefariki dunia baada ya helikopta aliyokuwa amepand...
    OKWI AFUNGA HAT TRICK SIMBA SC YAISHUGHULIKIA KIKAMILIFU RUVU SHOOTING, YAIPIGA 5-0 TAIFA

    OKWI AFUNGA HAT TRICK SIMBA SC YAISHUGHULIKIA KIKAMILIFU RUVU SHOOTING, YAIPIGA 5-0 TAIFA

    Na Sada Salmin, DAR ES SALAAM MSHAMBULIAJI Mganda, Emmanuel Okwi ameanza kuonyesha cheche katika msimu mpya wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara b...
    NGOMA AFUNGA BAO PEKEE NAMFUA AZAM YAICHAPA 1-0 SINGIDA UNITED, MTIBWA SUGAR NAO WAWAPIGA KAGERA

    NGOMA AFUNGA BAO PEKEE NAMFUA AZAM YAICHAPA 1-0 SINGIDA UNITED, MTIBWA SUGAR NAO WAWAPIGA KAGERA

    Na Mwandishi Wetu, SINGIDA BAO pekee la mshambuliaji Mzimbabwe, Donald Dombo Ngoma limeipa ushinidi wa 1-0 Azam FC dhidi ya wenyeji, Singi...
    WANARIADHA WA TANZANIA BARA WATAMBA MBIO ZA KILOMITA 10 ZA KMKM ZANZIBAR

    WANARIADHA WA TANZANIA BARA WATAMBA MBIO ZA KILOMITA 10 ZA KMKM ZANZIBAR

    Na Makame Mshenga, ZANZIBAR WAKIMBIAJI kutoka Tanzania Bara, wameibuka washindi wa nafasi zote tatu za juu kwa wanawake na wanaume katika ...
    TANZANIA YAPANGWA KUNDI MOJA NA SENEGAL, NIGERIA NA LIBYA FAINALI ZA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI

    TANZANIA YAPANGWA KUNDI MOJA NA SENEGAL, NIGERIA NA LIBYA FAINALI ZA AFRIKA SOKA LA UFUKWENI

    Na Mwandishi Wetu, CAIRO TANZANIA imepangwa Kundi katika Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Soka la Ufukweni (Beach Soccer) zinazot...
    PROMOTA MSANGI ADAI MFAUME MFAUME ALIONEWA NA REFA AKIPIGWA TKO RAUNDI YA PILI JANA URUSI

    PROMOTA MSANGI ADAI MFAUME MFAUME ALIONEWA NA REFA AKIPIGWA TKO RAUNDI YA PILI JANA URUSI

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM PROMOTA Jay Msangi amesema bondia wake, Mfaume Mfaume alionewa na refa akipoteza pambano lake na Vaghinak...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top