• HABARI MPYA

    HABARI MOTOMOTO

    HABARI YA KIMATAIFA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    • HABARI ZA NYUMBANI
    • SIMBA
    • YANGA
    • AZAM
    Tuesday, March 19, 2024
    Monday, March 18, 2024
     CHANGALAWE AMCHAPA BINGWA ALL AFRICAN GAMES MMISRI SALAH NA KUTINGA ROBO FAINALI

    CHANGALAWE AMCHAPA BINGWA ALL AFRICAN GAMES MMISRI SALAH NA KUTINGA ROBO FAINALI

    Bondia Yussuf Changalawe (Nyekundu) sekunde chache kabla ya kutangazwa mshindi wa pambano hilo la Usiku wa Kisasi Accra BONDIA Yusuf Changal...
    Sunday, March 17, 2024
    BONDIA WA TANZANIA AMCHAKAZA MSHELISHELI NA. KUTINGA ROBÓ FAINALI ALL AFRICAN GAMES

    BONDIA WA TANZANIA AMCHAKAZA MSHELISHELI NA. KUTINGA ROBÓ FAINALI ALL AFRICAN GAMES

    Ezra (Mwenye jezi ya Blue) baada ya kutangazwa rasmi mshindi wa pambano hilo la leo. BONDIA Ezra Paulo Mwanjwango amefanikiwa kutinga Robó F...
    Saturday, March 16, 2024
    SINGIDA FOUNTAIN GATE YAZINDUKA CHINI YA JULIO, YAICHAPA NAMUNGO 1-0

    SINGIDA FOUNTAIN GATE YAZINDUKA CHINI YA JULIO, YAICHAPA NAMUNGO 1-0

    TIMU ya Singida Fountain Gate imezinduka kwa kuichapa Namungo FC 1-0, bao pekee la beki Mghana, Nicholas Gyan dakika y 15 katika mchezo wa L...
    SAMATTA AREJEA UBELGIJI KUWAKABILI CLUB BRUGGE ROBÓ FAINALI CONFERENCE

    SAMATTA AREJEA UBELGIJI KUWAKABILI CLUB BRUGGE ROBÓ FAINALI CONFERENCE

    NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta atarejea Ubelgiji kwa mchezo wa Robó Fainali UEFA Europa Conference League dhidi ya Club Brugge. Ka...
    Friday, March 15, 2024
    CHAMA APIGA ZOTE SIMBA SC YAICHAPA MAAHUJAA 2-0

    CHAMA APIGA ZOTE SIMBA SC YAICHAPA MAAHUJAA 2-0

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mashujaa FC ya Kigoma katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    UONGOZI AZAM WAKUTANA NA WACHEZAJI KUELEKEA MECHI NA YANGA JUMAPILI

    UONGOZI AZAM WAKUTANA NA WACHEZAJI KUELEKEA MECHI NA YANGA JUMAPILI

    UONGOZI wa Azam FC leo asubuhi umekutana na wachezaji kujadiliana mambo mbalimbali kuelekea mechi zao zijazo kuanzia wa Jumapili wa Ligi Kuu...
    Thursday, March 14, 2024
    AZIZ KI APIGA BAO PEKEE YANGA YAICHAPA GEITA GOLD 1-0 CHAMAZI

    AZIZ KI APIGA BAO PEKEE YANGA YAICHAPA GEITA GOLD 1-0 CHAMAZI

    BAO pekee la kiungo Mburkinabe, Stephane Aziz Ki dakika ya 28 limeipa Yanga SC ushindi wa 1-0 dhidi ya Geita Gold katika mchezo wa Ligi Kuu ...
    COASTAL UNION YAICHAPA IHEFU SC 1-0 MKWAKWANI

    COASTAL UNION YAICHAPA IHEFU SC 1-0 MKWAKWANI

    BAO pekee la kiungo Lucas Almeida Kikoti dakika ya 25 kwa penalti limeipa Coastal Unión ushindi wa 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa Li...
    BODI YAMUONYA POPAT KWA KUONGEA NA WACHEZA AZAM KABLA YA MECHI NA DODOMA

    BODI YAMUONYA POPAT KWA KUONGEA NA WACHEZA AZAM KABLA YA MECHI NA DODOMA

    AFISA Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin ‘Popat’ amepewa onyo kali kwa kuingia kwenye chumba cha kubadilishia nguo cha timu yao na ku...
    Wednesday, March 13, 2024
    TFF YASEMA SAMATTA AMEJITOA MWENYEWE TAIFA STARS

    TFF YASEMA SAMATTA AMEJITOA MWENYEWE TAIFA STARS

    NAHODHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta ameomba kutojumuishwa kwenye kikosi cha Taifa Stars kwa ajili ya mashindano mapya ...
    KAGERA SUGAR NA MTIBWA SUGAR NGOMA DROO KAITABA, 0-0

    KAGERA SUGAR NA MTIBWA SUGAR NGOMA DROO KAITABA, 0-0

    WENYEJI, Kagera Sugar wamelazimishwa sare ya bila mabao na ndugu zao, Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja...
    JKT TANZANIA NA PRISONS HAKUNA MBABE, SARE 1-1

    JKT TANZANIA NA PRISONS HAKUNA MBABE, SARE 1-1

    TIMU ya JKT Tanzania imelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    MOROCCO AITA 23 KUUNDA TAIFA STARS YA FIFA SERIES AZERBAIJAN

    MOROCCO AITA 23 KUUNDA TAIFA STARS YA FIFA SERIES AZERBAIJAN

    KAIMU Kocha Mkuu wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Hemed Suleiman ‘Morocco’ ameteua wachezaji 23 kwa ajili ya mashindano mapya na mafupi...
    Tuesday, March 12, 2024
    NTIBANZOKIZA APIGA MBILI SIMBA SC YAICHAPA SINGIDA 3-1

    NTIBANZOKIZA APIGA MBILI SIMBA SC YAICHAPA SINGIDA 3-1

    TIMU ya Simba SC imeibuka na ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara leo Uwanja w...
    NI SIMBA NA AL AHLY, YANGA NA MAMELODI ROBÓ FAINALI LIGI YA MABINGWA

    NI SIMBA NA AL AHLY, YANGA NA MAMELODI ROBÓ FAINALI LIGI YA MABINGWA

    MABINGWA wa Tanzania, Yanga SC watamenyana na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini katika Robó Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, wakati wata...
    Monday, March 11, 2024
    YANGA SC YAITANDIKA IHEFU 5-0 NA KUJIWEKA HURU KILELENI LIGI KUU

    YANGA SC YAITANDIKA IHEFU 5-0 NA KUJIWEKA HURU KILELENI LIGI KUU

    MABINGWA watetezi, Yanga wameendeleza wimbi la ushindi katika Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara baada ya kuitandika Ihefu SC mabao 5-0 leo Uwanj...
    KIPA WA COASTAL MCHEZAJI BORA FEBRUARI LIGI KUU, GAMONDI KOCHA BORA

    KIPA WA COASTAL MCHEZAJI BORA FEBRUARI LIGI KUU, GAMONDI KOCHA BORA

    KIPA Mkongo wa Coastal Unión, Vumi Ley Matampi (34) amechaguliwa Mchezaji Bora wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara mwezi Februari huku Muargent...
    Sunday, March 10, 2024
    WAZIRI JUNIOR APIGA HAT TRICK KMC YAICHAPA TABORA UNITED 4-2

    WAZIRI JUNIOR APIGA HAT TRICK KMC YAICHAPA TABORA UNITED 4-2

    WENYEJI, KMC wameibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Tabora United katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC leo Uwanja wa Azam Complex, Chamazi J...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top