Kiungo wa Manchester United, Paul Pogba akitumia mwili wake kuulinda mpira dhidi ya wachezaji wa West Ham United, Noble na Fabian Balbuena katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa London. West Ham imeshinda 3-1, Pogba akitolewa dakika ya 70 kumpisha Fred. Mabao ya Wagonga Nyundo wa London yamefungwa na Felipe Anderson dakika ya tano, Victor Lindelof aliyejifunga dakika ya 43 baada ya kubabatizwa na shuti la Andriy Yarmolenko na Marko Arnautovic dakika ya 74, wakati la United limefungwa na Marcus Rashford dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
26 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment