• HABARI MPYA

    Sunday, September 23, 2018

    JOSHUA AMTWANGA RAUNDI YA SABA POVETKIN WEMBLEY

    Bondia Muingereza, Anthony Joshua (kushoto) akifurahia baada ya kumshinda mpinzani wake, Mrusi Alexander Povetkin kwa Knockout (KO) raundi ya saba usiku wa Jumamosi Uwanja wa Wembley mjini London na kuongeza mkanda wa WBA katika orodha ya mataji yake, mengine yakiwa ni ya IBO, IBF na WBO na sasa anakabiliwa na pambano la kuwania taji la WBC linaloshikiliwa na Mmarekani Deontay Leshun Wilder ili awe bingwa wa dunia wa uzito wa juu asiyepingika 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: JOSHUA AMTWANGA RAUNDI YA SABA POVETKIN WEMBLEY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top