Erik Lamela (kushoto) akishangilia na Danny Rose (wa pili kushoto), Harry Kane (wa pili kulia) na Lucas Moura (kulia) baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la pili dakika ya 76 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya wenyeji, Brighton & Hove Albion Uwanja wa The AMEX. Bao la kwanza la Spurs lilifungwa na Kane kwa penalti dakika ya 42 wakati la Brighton limefungwa na Anthony Knockaert dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Smith drop an early blow in tale of two Ashes keepers
-
Why wicketkeeper Jamie Smith's drop on day two of second Ashes Test is
potentially worrying for England.
58 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment