Wageni wa heshima wakisalimiana na wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Freddy Mbuna, Said Maulid ‘SMG’, Abdulkadir Mohammed ‘Tashi’ na Edibily Lunyamila kabla ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC Februari 17, mwaka 2001 Uwanja wa Uhuru, sasa Taifa mjini Dar es Salaam. Yangs ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Lunyamila dakika ya 47 na AllyYussuf 'Tigana' dakika ya 80 la Simba likifungwa na Steven Mapunda 'Garrincha' dakika ya 43.
MLB, MLBPA Announce 'Significant Updates' to Joint Drug Program
-
Major League Baseball and the Major League Baseball Players Association
announced Thursday several changes to the joint drug prevention and
treatment progr...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment