• HABARI MPYA

    Sunday, September 30, 2018

    MBUNA, SMG, TASHI NA LUNYAMILA KABLA YA YANGA KUIPIGA SIMBA SC 2001 TAIFA

    Wageni wa heshima wakisalimiana na wachezaji wa Yanga SC kutoka kulia Freddy Mbuna, Said Maulid ‘SMG’, Abdulkadir Mohammed ‘Tashi’ na Edibily Lunyamila kabla ya mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Simba SC Februari 17, mwaka 2001 Uwanja wa Uhuru, sasa Taifa mjini Dar es Salaam. Yangs ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Lunyamila dakika ya 47 na AllyYussuf 'Tigana' dakika ya 80 la Simba likifungwa na Steven Mapunda 'Garrincha' dakika ya 43.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MBUNA, SMG, TASHI NA LUNYAMILA KABLA YA YANGA KUIPIGA SIMBA SC 2001 TAIFA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top