Marco Asensio akishangilia baada ya kuifungia Real Madrid bao pekee dakika ya 41 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Santiago Bernabeu mjini Madrid. Ushindi huo unaipeleka Real kileleni ikifikisha pointi 13 baada ya kucheza mechi tano, ingawa inaweza kuachia kiti leo iwapo Barcelona yenye pointi 12 itashinda mechi yake ya tano dhidi ya Girona Jumapili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Justin Fields blocked trades from FOUR other NFL teams before Bears dealt
him to Steelers... as former Chicago starter only wanted to move to
Pittsburgh
-
Before being traded to the Pittsburgh Steelers from the Chicago Bears on
Saturday, Justin Fields denied deals to four other NFL teams as he had his
mind ma...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment