• HABARI MPYA

    Saturday, September 29, 2018

    LIVERPOOL YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO, YAPATA SARE 1-1 CHELSEA

    Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Eden Hazard akipasua katikati ya mabeki chipukizi wa Waingereza wa Liverpool, Joe Gomez na Trent Alexander-Arnold katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Chelsea ilitangulia kwa bao la Hazard dakika ya 25 akimalizia pasi ya Mateo Kovacic kabla ya Daniel Sturridge kuisawazishia Liverpool dakika ya 89 akimalizia pasi ya Xherdan Shaqiri 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LIVERPOOL YACHOMOA DAKIKA YA MWISHO, YAPATA SARE 1-1 CHELSEA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top