Mshambuliaji Mbelgiji wa Chelsea, Eden Hazard akipasua katikati ya mabeki chipukizi wa Waingereza wa Liverpool, Joe Gomez na Trent Alexander-Arnold katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Stamford Bridge, London timu hizo zikitoka sare ya 1-1. Chelsea ilitangulia kwa bao la Hazard dakika ya 25 akimalizia pasi ya Mateo Kovacic kabla ya Daniel Sturridge kuisawazishia Liverpool dakika ya 89 akimalizia pasi ya Xherdan Shaqiri PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Marc Guehi completes £20m Man City move as they see off Liverpool, Arsenal
- and the fury of Crystal Palace boss Oliver Glasner - and he says it's a
'relief' to get it done
-
JACK GAUGHAN: Guehi joins £62.5m Antoine Semenyo through the Etihad doors
this month and while not eligible for Tuesday's Champions League tie, will
be ava...
22 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment