Wachezaji wa Manchester City wakimpongeza Ryad Mahrez baada ya Mualgeria huyo kufunga mabao mawili dakika ya 67 na 89 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji Cardiff City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Cardiff City. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Sergio Aguero dakika ya 32, Bernardo Silva dakika ya 35 na İlkay Gundogan dakika ya 44 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
ASHES BREAKFAST: England bowlers flayed as Jamie Smith delivers abiding
image after drop, Joe Root neuters Australia's headline makers and Nathan
Lyon is left feeling 'filthy', writes OLIVER HOLT
-
It was a difficult first session in the field. Wicketkeeper Jamie Smith put
down a simple catch from Travis Head, off the bowling of Archer, and that
seeme...
51 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment