Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia na beki Mspaniola, Sergioa Ramos baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-1 dhidi ya Leganes katika mchezo wa La Liga Uwanja wa Bernabeu mjini Madrid. Benzema amefunga mabao mawili dakika za 48 na 61, Ramos dakika ya 66 na lingine, Gareth Bale dakika ya 17 na Sergio Ramos dakika ya 66 kwa penalti, wakati la Leganes limefungwa na Giudo Carillo kwa penalti dakika ya 24 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
O'Sullivan races through to last 16 at Crucible
-
Seven-time world champion Ronnie O'Sullivan races through the two frames he
needed to thrash Jackson Page and move into the last 16.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment