Gerard Pique akikimbia na Lionel Messi kurudisha mpira katikati baada ya kuifungia bao la kusawazisha Barcelona dakika ya 63 katika sare ya 2-2 na Girona Uwanja wa Camp Nou usiku wa jana. Hiyo ni baada ya Cristhian Stuani kuifungia mabao mawili Girona ndani ya dakika sita, dakika ya 45 na 51 kufuatia Messi kuanza kuifungia Barca dakika ya 19 katika mchezo wa La Liga. Barcelona ilimaliza pungufu baada ya refa, Gil Manzano kumtoa kwa kadi nyekundu Clement Lenglet dakika ya 35 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Romelu Lukaku's agent hits out at Corriere dello Sport's front page
-
EXCLUSIVE BY AMITAI WINEHOUSE: Lukaku's representative has labelled
Corriere dello Sport's racially insensitive front page 'shocking' and is
'disappointed'...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment