• HABARI MPYA

    Friday, January 31, 2020
    AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA MTIBWA SUGAR TAIFA TIMU ZOTE ZIKIMALIZA PUNGUFU

    AZAM FC YALAZIMISHWA SARE YA 1-1 NA MTIBWA SUGAR TAIFA TIMU ZOTE ZIKIMALIZA PUNGUFU

    Kiungo wa Mtibwa Sugar, Salum Kihimbwa akiupitia mpira mguuni mwa beki Mganda wa Azam FC, Nicholas Wadada katika mchezo wa Ligi Kuu ya Ta...
    Thursday, January 30, 2020
    REAL MADRID YAICHAPA ZARAGOZA 4-0 KOMBE LA MFALME HISPANIA

    REAL MADRID YAICHAPA ZARAGOZA 4-0 KOMBE LA MFALME HISPANIA

    Nyota wa Real Madrid, Mbrazil Vinicius Junior akiwatoka mabeki wa Real Zaragoza katika mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispani...
    LIVERPOOL YAICHAPA 2-0 WEST HAM NA KUUKARIBIA ZAIDI UBINGWA

    LIVERPOOL YAICHAPA 2-0 WEST HAM NA KUUKARIBIA ZAIDI UBINGWA

    Roberto Firmino, Jordan Henderson, Mohamed Salah, na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya Liverpool kupata bao la kwanza jana katik...
    Wednesday, January 29, 2020
    KAGERE APIGA BAO LA USHINDI BADO DAKIKA MBILI SIMBA SC YAWACHAPA NAMUNGO FC 3-2 TAIFA

    KAGERE APIGA BAO LA USHINDI BADO DAKIKA MBILI SIMBA SC YAWACHAPA NAMUNGO FC 3-2 TAIFA

    Na Asha Said, DAR ES SALAAM MABINGWA watetezi, Simba SC wameendelea kung’ara baada ya ushindi wa mabao 3-2 dhidi ya Namungo FC kwenye mche...
    MATHEO AIPIGIA BAO PEKEE POLISI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 LEO USHIRIKA

    MATHEO AIPIGIA BAO PEKEE POLISI YAICHAPA TANZANIA PRISONS 1-0 LEO USHIRIKA

    Bao pekee la mshambuliaji Matheo Anthony Simon dakika ya 82 limetosha kuipa ushindi wa 1-0 Polisi Tanzania dhidi ya Tanzania Prisons kati...
    MTENDAJI MKUU WA AZAM FC AFANYA ZIARA KLABU KADHAA NCHINI MISRI, AKUTANA HADI NA HIMID MAO

    MTENDAJI MKUU WA AZAM FC AFANYA ZIARA KLABU KADHAA NCHINI MISRI, AKUTANA HADI NA HIMID MAO

    OFISA Mtendaji Mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat', akiwa makao makuu ya miamba ya soka barani Afrika, Al Ahly. Popat amefa...
    KASEJA NA PAWASA WAJITOKEZA MAFUNZO YA DIPLOMA C YA KOZI YA UKOCHA YA CAF

    KASEJA NA PAWASA WAJITOKEZA MAFUNZO YA DIPLOMA C YA KOZI YA UKOCHA YA CAF

    Nyota wa zamani wa klabu ya Simba, kipa Juma Kaseja (kushoto) na beki Boniface Pawasa (kulia) ni miongoni mwa makocha 30 waliojitokeza ku...
    UZINDUZI WA TAWI LA SIMBA SC BUNGENI MJINI DODOMA ULIVYOFANA MAPEMA LEO

    UZINDUZI WA TAWI LA SIMBA SC BUNGENI MJINI DODOMA ULIVYOFANA MAPEMA LEO

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Yustino Ndugai akikata utepe wakati wa uzinduzi wa tawi la klabu hiyo Bungeni mjin...
    MCHEZAJI KUPELEKWA KWA MKOPO NI UAMUZI WA BENCHI LA UFUNDI

    MCHEZAJI KUPELEKWA KWA MKOPO NI UAMUZI WA BENCHI LA UFUNDI

    Na Dominick Salamba, DAR ES SALAAM DIRISHA dogo la usajili msimu huu limetuletea taswira ya kushangaza sana kwa wachezaji wetu na waajiri ...
    Tuesday, January 28, 2020
    SIMBA SC YAKANA TUHUMA ZA KUTAKA KUMHONGA KIPA WA YANGA, RAMADHANI KAWBILI

    SIMBA SC YAKANA TUHUMA ZA KUTAKA KUMHONGA KIPA WA YANGA, RAMADHANI KAWBILI

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM KLABU ya Simba SC imesema imeyapokea kwa masikitiko makubwa maelezo ya kipa wa Yanga SC, Ramadhani Awamu ...
    THOMAS ULIMWENGU ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUREJEA KLABU YA TP MAZEMBE

    THOMAS ULIMWENGU ASAINI MKATABA WA MIAKA MIWILI KUREJEA KLABU YA TP MAZEMBE

    Na Mwandshi Wetu, LUBUMBASHI MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Thomas Emmanuel Ulimwengu amesaini mkataba wa miaka miwili kujiunga te...
    MO DEWJI ALIPOMKABIDHI JEZI YA SIMBA SC RAIS WA FIFA, GIANNI INFANTINO

    MO DEWJI ALIPOMKABIDHI JEZI YA SIMBA SC RAIS WA FIFA, GIANNI INFANTINO

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba, Mohamed 'Mo' Dewji (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo, Rais wa Shirikisho la Soka...
    Monday, January 27, 2020
    TFF YAIAGIZA KAMATI YAKE YA MAADILI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA KABWILI DHIDI YA SIMBA SC

    TFF YAIAGIZA KAMATI YAKE YA MAADILI KUCHUNGUZA TUHUMA ZA KABWILI DHIDI YA SIMBA SC

    Na Mwandishi Wetu, DAR ES SALAAM SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeiagiza Kamati yake ya Maadili kufuatilia ukweli kuhusu tuhuma za up...
    AZAM FC YAICHAPA FRIENDS RANGERS 3-1 NA KUFUNGA MLANGO WA 16 BORA KOMBE LA TFF

    AZAM FC YAICHAPA FRIENDS RANGERS 3-1 NA KUFUNGA MLANGO WA 16 BORA KOMBE LA TFF

    Na Asha Said, DAR ES SALAAM TIMU ya Azam FC imefunga mlango wa kuingia hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maaruf...
    Sunday, January 26, 2020
    YANGA SC YAIPIGA TANZANIA PRISONS 2-0 NA KUTINGA 16 BORA AZAM SPORTS FEDERATION CUP

    YANGA SC YAIPIGA TANZANIA PRISONS 2-0 NA KUTINGA 16 BORA AZAM SPORTS FEDERATION CUP

    Na Asha Said, DAR ES SALAAM TIMU ya Yanga SC imeungana na vigogo wenzao, Simba SC kutinga hatua ya 16 Bora Kombe la Shirikisho la Soka Tan...

    HABARI ZA AFRIKA

    HABARI ZA KIMATAIFA

    NDONDI

    MAKTABA YA BIN ZUBEIRY

    MAKALA

    Scroll to Top