• HABARI MPYA

    Saturday, September 29, 2018

    CALLUM SMITH ATWAA UBINGWA WA WB SERIES BAADA YA KUMPIGA KO GROVES

    Bondia Callum Smith (kulia) akimuadhibu mkongwe George Groves katika pambano la fainali la la uzito wa Super-Middle na kushinda taji la WB Super Series kwa knockout (KO) raundi ya saba nchini Saudi Arabia jana 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CALLUM SMITH ATWAA UBINGWA WA WB SERIES BAADA YA KUMPIGA KO GROVES Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top