Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Disgusting moment Miami player punches Indiana rival as he tries to
celebrate national championship win
-
Footage broadcast by ESPN well after the game had concluded showed the
Hurricanes' Fletcher Jr. launching a punch at Tyrique Tucker of the
Hoosiers.
1 hour ago



.png)
0 comments:
Post a Comment