• HABARI MPYA

    Saturday, September 01, 2018

    MAN CITY YAICHAPA NEWCASTLE UNITED 2-1 KWA TABU ETIHAD

    Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAN CITY YAICHAPA NEWCASTLE UNITED 2-1 KWA TABU ETIHAD Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top