Kyle Walker akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la pili kwa shuti la umbali wa mita 30 dakika ya 52 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Newcastle United 2-1 Uwanja wa Etihad leo. Bao lingine la Man City limefungwa na Raheem Sterling dakika ya nane na la Newcastle limefungwa na DeAndre Yedlin dakika ya 30 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Kirk Cousins Got 'Cursory' Look from Steelers Before Russell
Wilson Deal
-
Before dramatically overhauling their quarterback room this offseason, the
Pittsburgh Steelers initially gauged the possibility of signing Kirk
Cousins in…
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment