Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza Cardiff City 3-2 Uwanja wa Cardiff katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 11 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 62, wakati ya Cardiff City yamefungwa na Victor Camarasa dakika ya 45 na ushei na Danny Ward dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
No. 1 UNC Upset by Alabama in Sweet 16 as March Madness Fans Criticize RJ
Davis
-
RJ Davis had been one of the best players in college basketball all season,
but on Thursday his shot wasn't falling as No. 4 Alabama beat No. 1 North
Carol...
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment