Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Arsenal dakika ya 81 ikiilaza Cardiff City 3-2 Uwanja wa Cardiff katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Shkodran Mustafi dakika ya 11 na Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 62, wakati ya Cardiff City yamefungwa na Victor Camarasa dakika ya 45 na ushei na Danny Ward dakika ya 70 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Banished Chelsea star returns to first team training under Liam Rosenior
after almost a year in exile, leaving £325,000-a-week outcast Raheem
Sterling as last member of club's 'bomb squad'
-
KIERAN GILL: Disasi had been working separately under Rosenior's
predecessor Enzo Maresca, with Tuesday marking exactly a year since the
27-year-old last a...
2 hours ago



.png)
0 comments:
Post a Comment