// Disable text selection (not fully reliable) function disableSelection(element) { element.setAttribute('unselectable', 'on'); element.style.userSelect = 'none'; element.style.MozUserSelect = 'none'; element.style.webkitUserSelect = 'none'; } // Apply to the entire document body document.addEventListener('DOMContentLoaded', function() { disableSelection(document.body); }); SULEIMAN GOMEZ AANZA MAZOEZI NA MOTO WYDAD CASABLANCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE SULEIMAN GOMEZ AANZA MAZOEZI NA MOTO WYDAD CASABLANCA - BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE
  • HABARI MPYA

    Friday, February 07, 2025

    SULEIMAN GOMEZ AANZA MAZOEZI NA MOTO WYDAD CASABLANCA


    MSHAMBULIAJI chipukizi wa Kimataifa wa Tanzania, Suleiman Mwalimu Abdallah ‘Gomez’ (19) leo ameanza mazoezi na klabu yake mpya, Wydad Athletic Jijini Casablanca nchini Morocco.
    Mwalimu ameanza mazoezi kwenye kikosi cha Kocha Muafrika Kusini, Rhulani Mokwena siku moja baada ya kutambulishwa kufuatia kujiunga na Wydad AC akitokea Singida Black Stars.
    GONGA KUTAZAMA PICHA ZAIDI
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: SULEIMAN GOMEZ AANZA MAZOEZI NA MOTO WYDAD CASABLANCA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top